Rm store

Rm store Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Rm store, Home goods shop, Nairobi.

22/04/2026

Full set tsh 195,000/- hii ndo inaitwa buy once buy quality
Uzuri zaid tunayo derivery nchi nzima kwa gharama nafuu na malipo ni baada ya kupokea mzigo wako

Kuwek oda tutumie jina lako, mahali ulipo nanamba inayopatikana muda wote kwenda 0620394074

16/04/2026

πŸ’‘ Hii siyo kununua tu vyombo…
πŸ‘‰ Ni ku-upgrade lifestyle yako
πŸ‘‰ Ni kuleta β€œrestaurant feeling” nyumbani kwako
πŸ‘‰ Ni kujiwekea heshima hata kabla ya chakula kuonja

15/04/2026

Waheshimiwa wateja wetu 🌟

Kila siku tunafanya kazi kwa bidii kuhakikisha kila order inahudumiwa kwa haraka na usahihi wa hali ya juu πŸ“¦βœ¨
Kuanzia maandalizi ya mzigo, upakiaji hadi kusafirisha β€” kila kitu kiko kwenye mpangilio makini kwa ajili yako.

🚚 Ukiagiza leo, kesho mzigo wako tayari utakuwa umeshawekwa kwenye usafiri ukielekea ulipo.

Tunawashukuru sana kwa kutuamini na kuendelea kuwa sehemu ya familia yetu πŸ™
Ni kutokana na support yenu ndio tunazidi kukua na kuboresha huduma zetu kila siku.

Usisubiri kesho β€” agiza leo upate huduma ya uhakika na ya haraka! πŸ’―

15/04/2026

Hii siyo vyombo… ni hadhi ya nyumba yako! πŸ”₯

Set yote hii utaipata kwa bei ya punguzo tsh 149,000/- tu

Unapoweka set hii mezani, kuna kitu kinabadilika instantly…
πŸ‘‰ Meza yako inaonekana ya kisasa
πŸ‘‰ Wageni wanakuangalia tofauti
πŸ‘‰ Na wewe mwenyewe unajisikia proud kuitumia

πŸ’Ž Tumekuletea PACKAGE KAMILI ya kifahari:
βœ”οΈ Ceramic pots (zinatunza joto na ubora wa chakula)
βœ”οΈ Sahani kubwa 6
βœ”οΈ Side dishes 6
βœ”οΈ Bakuli 6
βœ”οΈ Vikombe 6
βœ”οΈ Jagi la maji la kisasa + glass 6
βœ”οΈ Chupa ya chai (inadumisha joto hadi masaa 72 😳πŸ”₯)

πŸ’‘ Hii siyo kununua tu vyombo…
πŸ‘‰ Ni ku-upgrade lifestyle yako
πŸ‘‰ Ni kuleta β€œrestaurant feeling” nyumbani kwako
πŸ‘‰ Ni kujiwekea heshima hata kabla ya chakula kuonja

🚨 OFFER YA MUDA MFUPI 🚨
Kwa bei moja tu… unapata set NZIMA!

⚠️ Ukichelewa kidogo tu, utajikuta umeikosa
(stock haitabaki hivi milele)

Tunafanya derivery nchi nzima kwa gharama nafuu na gharama zote ni baada ya kupokea mzigo wako kuweka oda yako tutumie:
1. Jina lako
2. Mahali ulipo
3. Namba inayopatikana muda wote mzigo ukifika tutakujulisha

15/04/2026

πŸ”₯ Hii siyo set ya kawaida… ni upgrade ya maisha yako ya jikoni! πŸ”₯

πŸ’° Kwa Tsh 120,000 tu unapata set NZIMA!

Fikiria kuingia jikoni kwako ukiwa na kila kitu kimekamilika β€”
βœ”οΈ Rice cooker yenye uwezo wa kupika hadi kilo 2 (wali laini, haraka na bila stress)
βœ”οΈ Set ya vikombe 6 – kwa familia au wageni wa hadhi yoyote
βœ”οΈ Bakuli 6 za kisasa – presentation ya chakula inakuwa next level
βœ”οΈ Kettle ya kisasa – maji ya moto ndani ya dakika chache

πŸ’‘ Ukiwa na set hii, sio tu unapika… unajenga hadhi ya nyumba yako

✨ Wageni wakija? Confidence inakuja yenyewe!
✨ Familia? Wanakula kwa furaha zaidi
✨ Wewe mwenyewe? Unafurahia kila moment ya jikoni

(Hii ni deal ambayo hutaki kuikosa)

🚚 Tunasafirisha popote ulipo
πŸ“² Wahi ku-order sasa kabla stock

10/04/2026
31/03/2026

unayemwita. Tunapofika mwisho wa mawazo ya kibinadamu, ndipo mwanzo wa utendaji wa Mungu unapoanza. Kwenye hili lako, Mungu anakuja Mwenyewe! πŸ™ŒπŸ”₯

31/03/2026

Badili muonekano wa meza yako kwa Package hii ya Kipekee! ✨ kwa tsh 115,000/- tu utajipatia set yote hii

Sio vyombo tu, ni heshima ya nyumba yako. Tume kusetia kila kitu unachohitaji ili meza ipendeze na chakula kiwe na ladha ya kifalme.
Kwenye Package utapata:
βœ… Sahani kubwa 6 (Dinner plates)
βœ… Sahani ndogo 6 (Side plates)
βœ… Bakuli 6 (Soup/Serving bowls)
βœ… Vikombe 6 vya chai
βœ… Chupa ya chai ya kisasa (Haipozi kabisa!)
βœ… Seti ya Jug na Glass 6 za kifahari
Kila kitu kimepangiliwa kukupa utulivu na uzuri nyumbani kwako.
πŸ“ Tunapatikana: Stendi ya Magari ya mbagala kuu
πŸ“ž Piga/WhatsApp: 0620 394074

🚚tunafanaya derivery nchi nzima na unalipia ukishapokea mzigo wako karb. Sana

31/03/2026

Kila kifurushi tunachofunga kina hadithi ya thamani ndani yake. ✨

Hatua kwa hatua, tunahakikisha bidhaa yako inafungwa kwa umakini wa hali ya juu ili ikufikie ikiwa katika hali bora kabisa. Kutoka kwenye rafu zetu hadi mikononi mwako – usalama na ubora ndio kipaumbele chetu.

πŸ“¦Tayari kwa safari! Oda yako inafuata?!

Tunapatikana: Tandika Stendi ya Magari, Mbagala Kuu.
πŸ“ž Tupigie/WhatsApp: 0620 394074
🚚 Tunatuma mikoani kote na tunafanya delivery ndani ya Dar es Salaam.

30/03/2026

KILA KITU NDANI YA BOX MOJA! πŸ”₯
Unataka kuboresha muonekano na ufanisi wa jiko lako kwa mkupuo mmoja? Basi package hii itakurahisia na kuokoa muda na pesa, vyote ni kwa 189,000tu
Package hii inajumuisha:
βœ… Jiko la Gas (Imara)
βœ… Seti ya Sufuria ( sufuria 7 kubwa 4kg)
βœ… Pipe na Geji (Full Safety)
βœ… Frypan non stick mambo ya kuunguza tupa kule (Kwa ajili ya vikaango)
βœ… Kalai la kukaangia
Zote hizi kwa Tsh 189,000/= TU! 😱

Hii siyo ofa ya kukosa. Bidhaa ni imara na zitadumu jikoni kwako kwa muda mrefu

Kuweka oda tutumie
1. Jina lako
2. Mahali ulipo
3. Namba inayopatikana muda wote

Tunafanya derivery nchi nzima kwa gharama nafuu na malipo yote ni baada ya kupokea mzigo wako
πŸ“ Tunapatikana: Dar es salaam stand ya magari ya Mbagala Kuu (Stendi ya Magari)
πŸ“ž Tupigie/WhatsApp: 0620 394074
🚚 Mikoani tunatuma kwa uaminifu m

29/03/2026

πŸ”₯ OFa Kali ya Nyumbani – Kila Kitu Ndani! πŸ”₯

Unatafuta kuifanya nyumba yako iwe kamili kwa mpigo mmoja? Hii ndio package itakayobadilisha kabisa maisha ya jikoni lako! πŸ‘‡

βœ… Multicooker 2KG – pika wali, supu, pilau bila stress
βœ… Blender 2 in 1 – juice safi na kusaga kwa urahisi
βœ… Jagi la maji/juice + glass 6 – kwa wageni na familia
βœ… Sahani kubwa 6 + sahani ndogo 6 – mpangilio kamili wa mezani
βœ… Vikombe 6 – chai au kahawa kwa style πŸ”₯

πŸ’₯ Vyote hivi kwa bei ya Tsh 175,000 tu! πŸ’₯

WARRANTY NI MIAKA MIWILI

Hii sio bidhaa moja… ni SET KAMILI ya familia!
Inafaa kwa:
βœ”οΈ Wanaoanza maisha
βœ”οΈ Zawadi ya harusi / kitchen party
βœ”οΈ Kuboresha nyumba yako

🚚 tunafanya derivery inchi nzima kwa gharama nafuu na unalipia ukishapokea mzigo wako kuweka oda tutumie:-
1. Jina
2. Namba inayopatikana muda wote
3. Mahali ulipo
Kwenda namba 0620394074

25/03/2026

Rack ya vyombo ya chuma – suluhisho la mpangilio safi na wa kisasa jikoni kwako ✨ kwa tsh 75,000/-

Panga vyombo vyako kwa urahisi na uache jiko lako lionekane nadhifu kila wakati 😍

Imara na ya kudumu, rack hii ya chuma ni rafiki wa kila jiko la kisasa 🏑

Ondoa fujo jikoni, chagua rack ya chuma yenye muonekano wa kuvutia na matumizi rahisi πŸ˜‰

Uzuri na uimara vimekutana hapa – rack ya vyombo ya chuma kwa matumizi ya kila siku πŸ’―

Jiko safi linaanza na mpangilio mzuri – pata rack ya chuma leo πŸ‘

Address

Nairobi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Rm store posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share